Waroma 11:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia, Daudi anasema: “Meza yao na iwe kitu kinachonasa na mtego na kikwazo na malipo kwao. 10 Acha macho yao yatiwe giza wasiweze kuona, na sikuzote uwafanye wainamishe migongo yao.”+
9 Pia, Daudi anasema: “Meza yao na iwe kitu kinachonasa na mtego na kikwazo na malipo kwao. 10 Acha macho yao yatiwe giza wasiweze kuona, na sikuzote uwafanye wainamishe migongo yao.”+