Isaya 61:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uzao wao utajulikana* miongoni mwa mataifa+Na wazao wao miongoni mwa watu. Wote wanaowaona watawatambua,Kwamba wao ni uzao ambao* Yehova amebariki.”+ Isaya 66:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Kwa maana kama vile mbingu mpya na dunia mpya+ ninazoumba zitakavyoendelea kusimama mbele zangu,” asema Yehova, “ndivyo uzao wenu* na jina lenu litakavyoendelea kudumu.”+
9 Uzao wao utajulikana* miongoni mwa mataifa+Na wazao wao miongoni mwa watu. Wote wanaowaona watawatambua,Kwamba wao ni uzao ambao* Yehova amebariki.”+
22 “Kwa maana kama vile mbingu mpya na dunia mpya+ ninazoumba zitakavyoendelea kusimama mbele zangu,” asema Yehova, “ndivyo uzao wenu* na jina lenu litakavyoendelea kudumu.”+