2 Samweli 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Daudi akamwimbia Yehova maneno ya wimbo huu+ siku ambayo Yehova alimwokoa kutoka mikononi mwa maadui wake wote+ na kutoka mikononi mwa Sauli.+ 1 Mambo ya Nyakati 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha akawaweka baadhi ya Walawi wahudumu mbele ya Sanduku la Yehova,+ wamheshimu,* wamshukuru, na kumsifu Yehova Mungu wa Israeli. Zaburi 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nitakusifu, Ee Yehova, kwa moyo wangu wote;Nitasimulia kuhusu kazi zako zote zinazostaajabisha.+
22 Daudi akamwimbia Yehova maneno ya wimbo huu+ siku ambayo Yehova alimwokoa kutoka mikononi mwa maadui wake wote+ na kutoka mikononi mwa Sauli.+
4 Kisha akawaweka baadhi ya Walawi wahudumu mbele ya Sanduku la Yehova,+ wamheshimu,* wamshukuru, na kumsifu Yehova Mungu wa Israeli.