Zaburi 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Niokoe kwa mkono wako, Ee Yehova,Kutoka kwa watu wa ulimwengu huu,* ambao fungu lao liko katika maisha haya,+Wale ambao unawajaza kwa vitu vizuri unavyoandaa+Na ambao huwaachia urithi wana wao wengi.
14 Niokoe kwa mkono wako, Ee Yehova,Kutoka kwa watu wa ulimwengu huu,* ambao fungu lao liko katika maisha haya,+Wale ambao unawajaza kwa vitu vizuri unavyoandaa+Na ambao huwaachia urithi wana wao wengi.