Zaburi 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova ni fungu langu, sehemu niliyogawiwa,+ na kikombe changu.+ Unaulinda urithi wangu. Maombolezo 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nimesema,* “Yehova ni fungu langu+ ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kumngojea yeye.”+