Maombolezo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ameikataa madhabahu yake;Amedharau mahali pake patakatifu.+ Amesalimisha kuta za minara yake yenye ngome mikononi mwa adui.+ Wameinua sauti yao ndani ya nyumba ya Yehova,+ kama inavyokuwa siku ya sherehe.
7 Yehova ameikataa madhabahu yake;Amedharau mahali pake patakatifu.+ Amesalimisha kuta za minara yake yenye ngome mikononi mwa adui.+ Wameinua sauti yao ndani ya nyumba ya Yehova,+ kama inavyokuwa siku ya sherehe.