Zaburi 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitahangaika kwa wasiwasi mpaka lini,Nikiwa na huzuni moyoni mwangu kila siku? Adui yangu atanishinda mpaka lini?+ Zaburi 79:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha.
2 Nitahangaika kwa wasiwasi mpaka lini,Nikiwa na huzuni moyoni mwangu kila siku? Adui yangu atanishinda mpaka lini?+
4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha.