Zaburi 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa sababu wale wanaoteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha uchungu cha maskini,+Nitainuka na kutenda,” asema Yehova. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wanaowatendea kwa dharau.”*
5 “Kwa sababu wale wanaoteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha uchungu cha maskini,+Nitainuka na kutenda,” asema Yehova. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wanaowatendea kwa dharau.”*