Kutoka 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ni Yehova, nami nitawatoa kutoka chini ya mizigo ya Wamisri na kuwaokoa kutoka katika utumwa wao,+ nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa* na kwa hukumu kubwa.+ Kumbukumbu la Torati 9:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana ni watu wako na mali yako binafsi,*+ watu uliowatoa kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulionyooshwa.’+
6 “Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ni Yehova, nami nitawatoa kutoka chini ya mizigo ya Wamisri na kuwaokoa kutoka katika utumwa wao,+ nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa* na kwa hukumu kubwa.+
29 Kwa maana ni watu wako na mali yako binafsi,*+ watu uliowatoa kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulionyooshwa.’+