Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaisukuma bahari nyuma usiku kucha kwa upepo wenye nguvu wa mashariki, maji yakagawanyika,+ kukawa na nchi kavu+ katikati ya bahari.

  • Yoshua 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 maji yanayotoka upande wa juu yakaacha kutiririka. Yakasimama tuli kama bwawa* mbali sana huko Adamu, jiji lililo karibu na Sarethani, na yale yanayoshuka kwenye Bahari ya Araba, yaani, Bahari ya Chumvi, yakakauka. Yalisimamishwa, na watu wakavuka kuelekea Yeriko.

  • Zaburi 114:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 114 Israeli alipotoka Misri,+

      Nyumba ya Yakobo ilipotoka kati ya watu waliozungumza lugha ya kigeni,

       2 Yuda ikawa mahali pake patakatifu,

      Israeli, miliki yake.+

       3 Bahari iliona hilo na kukimbia;+

      Mto Yordani ukarudi nyuma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki