Kumbukumbu la Torati 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ila tu muwe waangalifu na kujihadhari sana, ili msisahau mambo ambayo macho yenu yameona na ili yasiondoke moyoni mwenu siku zote za maisha yenu. Ni lazima pia muwaambie wana wenu na wajukuu wenu.+ Zaburi 103:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+
9 “Ila tu muwe waangalifu na kujihadhari sana, ili msisahau mambo ambayo macho yenu yameona na ili yasiondoke moyoni mwenu siku zote za maisha yenu. Ni lazima pia muwaambie wana wenu na wajukuu wenu.+