Kutoka 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi Yehova akafanya kama alivyosema, na makundi makubwa sana ya nzi yakaanza kuvamia nyumba ya Farao na nyumba za watumishi wake na nchi yote ya Misri.+ Nchi ikaharibiwa na nzi hao.+
24 Basi Yehova akafanya kama alivyosema, na makundi makubwa sana ya nzi yakaanza kuvamia nyumba ya Farao na nyumba za watumishi wake na nchi yote ya Misri.+ Nchi ikaharibiwa na nzi hao.+