Kutoka 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mara moja Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari, na asubuhi ilipokuwa ikikaribia, bahari ikarudia hali yake ya kawaida. Wamisri walipokuwa wakiikimbia bahari, Yehova akawakung’uta Wamisri katikati ya bahari.+ Kutoka 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ulipuliza bahari kwa pumzi yako, ikawafunika;+Walizama kama madini ya risasi katika maji makuu.
27 Mara moja Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari, na asubuhi ilipokuwa ikikaribia, bahari ikarudia hali yake ya kawaida. Wamisri walipokuwa wakiikimbia bahari, Yehova akawakung’uta Wamisri katikati ya bahari.+