Mambo ya Walawi 23:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova akaendelea kumwambia Musa: 24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+
23 Yehova akaendelea kumwambia Musa: 24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+