Zaburi 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Misingi* inapobomolewa,Mtu mwadilifu anaweza kufanya nini?” Methali 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa haki mfalme huleta uthabiti nchini,+Lakini mtu anayetafuta rushwa huiharibu.