Yohana 10:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawajibu: “Je, haijaandikwa katika Sheria yenu, ‘Mimi nilisema: “Ninyi ni miungu”’?*+ 35 Ikiwa aliwaita ‘miungu’+ wale ambao neno la Mungu lilikuja dhidi yao—na bado andiko haliwezi kubatilishwa— 1 Wakorintho 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa miungu, iwe ni mbinguni au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi,
34 Yesu akawajibu: “Je, haijaandikwa katika Sheria yenu, ‘Mimi nilisema: “Ninyi ni miungu”’?*+ 35 Ikiwa aliwaita ‘miungu’+ wale ambao neno la Mungu lilikuja dhidi yao—na bado andiko haliwezi kubatilishwa—
5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa miungu, iwe ni mbinguni au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi,