Amosi 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walilitia mikononi mwa Edomu kundi lote la watu waliohamishwa,Na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+
9 Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walilitia mikononi mwa Edomu kundi lote la watu waliohamishwa,Na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+