25 Pia wakawakamata wale wakuu wawili wa Midiani, yaani, Orebu na Zeebu; wakamuua Orebu juu ya mwamba wa Orebu+ na kumuua Zeebu kwenye shinikizo la divai la Zeebu. Wakaendelea kuwafuatia Wamidiani,+ nao wakamletea Gideoni kichwa cha Orebu na cha Zeebu katika eneo la Yordani.