Zaburi 144:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ee Yehova, shusha* mbingu zako uteremke;+Iguse milima na uifanye ifuke moshi.+ Nahumu 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya hasira yake kali?+ Na ni nani anayeweza kustahimili joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake itamwagwa kama moto,Na miamba itavunjika-vunjika kwa sababu yake.
6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya hasira yake kali?+ Na ni nani anayeweza kustahimili joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake itamwagwa kama moto,Na miamba itavunjika-vunjika kwa sababu yake.