Zaburi 103:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hatatafuta makosa sikuzote,+Wala hataendelea kuwa na hasira milele.+ Isaya 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku hiyo hakika utasema: “Ninakushukuru, Ee Yehova,Kwa maana ingawa ulinikasirikia,Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+
12 Siku hiyo hakika utasema: “Ninakushukuru, Ee Yehova,Kwa maana ingawa ulinikasirikia,Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+