Zaburi 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia. Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+ Isaya 66:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+ “Basi, nitamtazama huyu,Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+
2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+ “Basi, nitamtazama huyu,Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+