Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia.

      Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+

  • Isaya 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,

      Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+

      “Basi, nitamtazama huyu,

      Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki