Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na asifiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake hutenda mambo yanayostaajabisha.+ Danieli 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeye huokoa,+ naye hufanya ishara na maajabu mbinguni na duniani,+ kwa sababu alimwokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”
27 Yeye huokoa,+ naye hufanya ishara na maajabu mbinguni na duniani,+ kwa sababu alimwokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”