Zaburi 52:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini mimi nitakuwa kama mzeituni wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Ninautumaini upendo mshikamanifu wa Mungu,+ milele na milele. Zaburi 147:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova anafurahishwa na wale wanaomwogopa,+Wale wanaongojea upendo wake mshikamanifu.+ 1 Petro 5:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue kwa wakati unaofaa,+ 7 huku mkitupa mahangaiko* yenu yote juu yake,+ kwa sababu yeye anawajali ninyi.+
8 Lakini mimi nitakuwa kama mzeituni wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Ninautumaini upendo mshikamanifu wa Mungu,+ milele na milele.
6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue kwa wakati unaofaa,+ 7 huku mkitupa mahangaiko* yenu yote juu yake,+ kwa sababu yeye anawajali ninyi.+