Zaburi 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova atakuwa kimbilio salama* kwa wanaokandamizwa,+Kimbilio salama katika nyakati za taabu.+ Zaburi 142:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ninakulilia unisaidie, Ee Yehova. Ninasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Ni wewe tu niliye nawe* katika nchi ya walio hai.”
5 Ninakulilia unisaidie, Ee Yehova. Ninasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Ni wewe tu niliye nawe* katika nchi ya walio hai.”