Zaburi 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova, Mungu wa Israeli, na asifiweKwa umilele wote.*+ Amina na Amina. Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na asifiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake hutenda mambo yanayostaajabisha.+