Hesabu 17:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha Waisraeli wakamwambia Musa, “Sasa tutakufa, bila shaka tutaangamia, sisi sote tutaangamia! 13 Hata mtu yeyote atakayekaribia hema la Yehova la ibada atakufa!+ Je, ni lazima sote tufe kwa njia hiyo?”+ Kumbukumbu la Torati 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+Nao utateketeza dunia na mazao yakeNa kuchoma moto misingi ya milima.
12 Kisha Waisraeli wakamwambia Musa, “Sasa tutakufa, bila shaka tutaangamia, sisi sote tutaangamia! 13 Hata mtu yeyote atakayekaribia hema la Yehova la ibada atakufa!+ Je, ni lazima sote tufe kwa njia hiyo?”+
22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+Nao utateketeza dunia na mazao yakeNa kuchoma moto misingi ya milima.