Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nimemwona mtu mkatili, mwovu

      Akisambaa kama mti wenye majani mengi katika udongo wake wa asili.+

  • Zaburi 37:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa;

      Wakati ujao wa watu waovu utakomeshwa.+

  • Yeremia 12:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+ ninapokuletea malalamishi yangu,

      Ninapozungumza nawe kuhusu mambo ya haki.

      Lakini kwa nini njia ya waovu imefanikiwa,+

      Na kwa nini watu wenye hila hawana wasiwasi?

       2 Uliwapanda, nao wametia mizizi.

      Wamekua na kuzaa matunda.

      Wewe uko kwenye midomo yao, lakini uko mbali na mawazo yao ya ndani kabisa.*+

       3 Lakini unanijua vema, Ee Yehova,+ unaniona;

      Umeuchunguza moyo wangu na kuupata ukiwa katika muungano nawe.+

      Waweke kando kama kondoo wa kuchinjwa,

      Na uwatenge kwa ajili ya siku ya kuuawa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki