Mwanzo 1:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha Mungu akasema: “Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, na nchi kavu itokee.”+ Na ikawa hivyo. 10 Mungu akaiita nchi kavu Dunia,+ lakini mkusanyiko wa maji, akauita Bahari.+ Na Mungu akaona kuwa ni vyema.+
9 Kisha Mungu akasema: “Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, na nchi kavu itokee.”+ Na ikawa hivyo. 10 Mungu akaiita nchi kavu Dunia,+ lakini mkusanyiko wa maji, akauita Bahari.+ Na Mungu akaona kuwa ni vyema.+