2 Halafu Mfalme Daudi akasimama na kusema:
“Nisikilizeni, ndugu zangu na watu wangu. Moyo wangu ulitamani kujenga nyumba ambamo sanduku la agano la Yehova lingekaa na ambayo ingekuwa kiti cha miguu cha Mungu wetu,+ nami nilifanya matayarisho ya kuijenga.+