Zaburi 96:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwimbieni Yehova; lisifuni jina lake. Tangazeni habari njema za wokovu wake siku baada ya siku.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+