14 Mara moja Daudi akawaambia watumishi wake wote waliokuwa pamoja naye huko Yerusalemu: “Tuondoke, tukimbie,+ kwa maana hakuna yeyote kati yetu atakayemkwepa Absalomu! Fanyeni haraka, asije akatufikia na kutuletea msiba na kuwaua watu wote jijini kwa upanga!”+