Zaburi 51:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nirudishie shangwe ya wokovu wako;+Chochea ndani yangu utayari wa kukutii.* Isaya 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena. Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;Watatembea na hawatachoka.”+
31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena. Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;Watatembea na hawatachoka.”+