Zaburi 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu;+Humchukia* mtu yeyote anayependa ukatili.+ Zaburi 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nitamsifu Yehova, ambaye amenipa ushauri.+ Hata wakati wa usiku, mawazo yangu ya ndani kabisa* hunirekebisha.+ 1 Wakorintho 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana sioni kosa lolote dhidi yangu mwenyewe. Lakini hilo halithibitishi kuwa mimi ni mwadilifu; anayenichunguza ni Yehova.*+
7 Nitamsifu Yehova, ambaye amenipa ushauri.+ Hata wakati wa usiku, mawazo yangu ya ndani kabisa* hunirekebisha.+
4 Kwa maana sioni kosa lolote dhidi yangu mwenyewe. Lakini hilo halithibitishi kuwa mimi ni mwadilifu; anayenichunguza ni Yehova.*+