Methali 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova aliuweka msingi wa dunia kwa hekima.+ Aliziimarisha kabisa mbingu kwa utambuzi.+ Yeremia 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yeye ndiye Muumba wa dunia kwa nguvu zake,Yule aliyeiimarisha ardhi inayozaa kwa hekima yake+Na aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+
12 Yeye ndiye Muumba wa dunia kwa nguvu zake,Yule aliyeiimarisha ardhi inayozaa kwa hekima yake+Na aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+