Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+Utapaangalia mahali walipokuwa,Nao hawatakuwepo.+ Zaburi 37:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa;Wakati ujao wa watu waovu utakomeshwa.+ Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini waovu, wataangamizwa kutoka duniani,+Na wenye hila watang’olewa kutoka ndani yake.+
10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+Utapaangalia mahali walipokuwa,Nao hawatakuwepo.+