1 Mambo ya Nyakati 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha Daudi akamsifu Yehova mbele ya kutaniko lote. Daudi akasema: “Na usifiwe, Ee Yehova Mungu wa Israeli baba yetu, kwa umilele wote.* Zaburi 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova, Mungu wa Israeli, na asifiweKwa umilele wote.*+ Amina na Amina. Luka 1:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 “Asifiwe Yehova* Mungu wa Israeli,+ kwa sababu amewakumbuka watu wake na kuwaletea ukombozi.+
10 Kisha Daudi akamsifu Yehova mbele ya kutaniko lote. Daudi akasema: “Na usifiwe, Ee Yehova Mungu wa Israeli baba yetu, kwa umilele wote.*