1 Mambo ya Nyakati 16:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+ Zaburi 103:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini upendo mshikamanifu wa Yehova ni wa milele na milele*Kuelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kuelekea watoto wa watoto wao,+
17 Lakini upendo mshikamanifu wa Yehova ni wa milele na milele*Kuelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kuelekea watoto wa watoto wao,+