Yona 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha wakamlilia Yehova wakisema: “Jamani, sasa, Ee Yehova, tafadhali, tunakusihi usituangamize kwa sababu ya mtu huyu!* Usituadhibu kwa sababu ya damu isiyo na hatia, kwa kuwa umefanya upendavyo, Ee Yehova!”
14 Kisha wakamlilia Yehova wakisema: “Jamani, sasa, Ee Yehova, tafadhali, tunakusihi usituangamize kwa sababu ya mtu huyu!* Usituadhibu kwa sababu ya damu isiyo na hatia, kwa kuwa umefanya upendavyo, Ee Yehova!”