Zaburi 146:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeye anayetekeleza haki kwa ajili ya waliopunjwa,Yeye anayewapa chakula* wenye njaa.+ Yehova anawaachilia huru wafungwa.*+ Luka 1:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na kuwafukuza mikono mitupu wale waliokuwa na mali.
7 Yeye anayetekeleza haki kwa ajili ya waliopunjwa,Yeye anayewapa chakula* wenye njaa.+ Yehova anawaachilia huru wafungwa.*+
53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na kuwafukuza mikono mitupu wale waliokuwa na mali.