Zaburi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+ Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifuKwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+ Zaburi 60:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ili wapendwa wako waokolewe,Tuokoe kwa mkono wako wa kuume na utujibu.+
6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+ Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifuKwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+