Zaburi 68:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwimbieni Mungu; liimbieni sifa* jina lake.+ Mwimbieni Yule anayepanda kupitia jangwa tambarare.* Jina lake ni Yah!*+ Shangilieni mbele zake! Zaburi 113:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 113 Msifuni Yah!* Msifuni, enyi watumishi wa Yehova,Lisifuni jina la Yehova. Ufunuo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni. Wakasema: “Msifuni Yah!*+ Wokovu na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,
4 Mwimbieni Mungu; liimbieni sifa* jina lake.+ Mwimbieni Yule anayepanda kupitia jangwa tambarare.* Jina lake ni Yah!*+ Shangilieni mbele zake!
19 Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni. Wakasema: “Msifuni Yah!*+ Wokovu na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,