Mwanzo 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nami nitaufanya uzao wako uwe* kama chembe za mavumbi ya ardhi, hivi kwamba ikiwa kuna yeyote anayeweza kuhesabu chembe za mavumbi ya ardhi, basi uzao wako utaweza* kuhesabiwa.+
16 Nami nitaufanya uzao wako uwe* kama chembe za mavumbi ya ardhi, hivi kwamba ikiwa kuna yeyote anayeweza kuhesabu chembe za mavumbi ya ardhi, basi uzao wako utaweza* kuhesabiwa.+