Zaburi 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia. Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+ Waroma 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova* ataokolewa.”+