Mathayo 26:52, 53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Ndipo Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wote wanaochukua upanga wataangamia kwa upanga.+ 53 Au unafikiri siwezi kumwomba Baba yangu anipe sasa hivi vikosi zaidi ya 12 vya malaika?+
52 Ndipo Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wote wanaochukua upanga wataangamia kwa upanga.+ 53 Au unafikiri siwezi kumwomba Baba yangu anipe sasa hivi vikosi zaidi ya 12 vya malaika?+