33 Mnapaswa kutembea katika njia yote ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru mfuate,+ ili mwishi na kufanikiwa na kurefusha siku zenu katika nchi mtakayomiliki.+
23 Lakini niliwaamuru hivi: “Tiini sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.+ Ni lazima mtembee katika njia yote ninayowaamuru, ili mambo yawaendee vema.”’+