Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mnapaswa kutembea katika njia yote ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru mfuate,+ ili mwishi na kufanikiwa na kurefusha siku zenu katika nchi mtakayomiliki.+

  • Yeremia 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini niliwaamuru hivi: “Tiini sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.+ Ni lazima mtembee katika njia yote ninayowaamuru, ili mambo yawaendee vema.”’+

  • Yakobo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana ikiwa yeyote anatii Sheria yote lakini anajikwaa katika jambo moja, amekosa kuitii Sheria yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki