Ayubu 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sijaacha amri ya midomo yake. Nimeyathamini maneno yake+ kama hazina hata kuliko nilivyoamriwa.* Zaburi 119:174 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 174 Ninautamani sana wokovu wako, Ee Yehova,Nami ninaipenda sana sheria yako.+ Waroma 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli naipenda sheria ya Mungu kulingana na mtu niliye kwa ndani,+