2 Mambo ya Nyakati 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hezekia+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 29 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Abiya binti ya Zekaria.+ 2 Mambo ya Nyakati 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya Yehova na kuirekebisha.+
29 Hezekia+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 29 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Abiya binti ya Zekaria.+
3 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya Yehova na kuirekebisha.+