Zaburi 86:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulinde uhai wangu,* kwa maana mimi ni mshikamanifu.+ Mwokoe mtumishi wako anayekutumaini,Kwa maana wewe ni Mungu wangu.+ Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’
2 Ulinde uhai wangu,* kwa maana mimi ni mshikamanifu.+ Mwokoe mtumishi wako anayekutumaini,Kwa maana wewe ni Mungu wangu.+
10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’