Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Methali 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Methali za Sulemani+ mwana wa Daudi,+ mfalme wa Israeli:+ Methali 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ili kumfanya mjinga awe mwerevu;+Ili kumpa kijana ujuzi na uwezo wa kufikiri.+ 2 Timotheo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu,+ ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima ili upate wokovu kupitia imani katika Kristo Yesu.+
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu,+ ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima ili upate wokovu kupitia imani katika Kristo Yesu.+