Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hana alikuwa na uchungu mwingi sana,* akaanza kusali kwa Yehova+ na kulia sana. 11 Naye akaweka nadhiri hii: “Ee Yehova wa majeshi, ikiwa utayaona mateso yangu mimi mtumishi wako na kunikumbuka na usiponisahau mimi mtumishi wako, nawe unipe mtoto wa kiume,+ nitamtoa awe wa Yehova sikuzote za maisha yake, na hakuna wembe utakaogusa kichwa chake.”+

  • 2 Samweli 16:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Daudi akamwambia Abishai na watumishi wake wote: “Ikiwa mwanangu mwenyewe, niliyemzaa anatafuta uhai wangu,*+ je, Mbenjamini hatafanya zaidi?+ Mwacheni anitukane, kwa maana Yehova alimwambia afanye hivyo! 12 Huenda Yehova ataona mateso yangu,+ na Yehova atanilipa kwa wema badala ya matusi niliyotukanwa leo hii.”+

  • Isaya 38:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Haya ni maandishi ya* Mfalme Hezekia wa Yuda, aliposhikwa na ugonjwa na kupona ugonjwa wake.

  • Isaya 38:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ee Yehova, niokoe,

      Nasi tutapiga nyimbo zangu kwa vinanda+

      Siku zote za maisha yetu katika nyumba ya Yehova.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki